RC MAKALLA AWANUSURU WANANCHI NA ATHARI ZA MAZINGIRA.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo amepatia ufumbuzi kilio Cha wakazi wa Kilungule Wilaya ya Temeke waliokumbwa na adha ya Vumbi na udongo unaotokana na Ujenzi unaoendelea wa Daraja la kuunganisha Kata ya Kilungule na Buza linalogharimu Shilingi bilioni 12 ambapo ameagiza Wakazi hao kutafutiwa nyumba za kuishi kwa wakati